Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini watu walikaa kimya, hawakumjibu neno lolote, kwa maana mfalme alikuwa amewaagiza hivi: “Msimjibu.”+ 37 Lakini Eliakimu mwana wa Hilkia, aliyekuwa msimamizi wa nyumba,* Shebna aliyekuwa mwandishi, na Yoa mwana wa Asafu aliyekuwa akifanya kazi ya kuweka kumbukumbu wakaja kwa Hezekia mavazi yao yakiwa yameraruliwa, wakamwambia maneno ya Rabshake.

  • Methali 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka hualika aibu,+

      Na yeyote anayemkaripia mtu mwovu ataumia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki