4 “Kila mtu, jihadhari na jirani yako,
Wala usimwamini hata ndugu yako.
Kwa maana kila ndugu ni msaliti,+
Na kila jirani ni mchongezi.+
5 Kila mtu anamdanganya jirani yake,
Na hakuna yeyote anayesema ukweli.
Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+
Wanajichosha kwa kufanya makosa.