Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe usikilize ombi langu mimi mtumishi wako la kutaka kibali na pia ombi ambalo watu wako Waisraeli wanaomba kuelekea mahali hapa, nawe usikilize katika makao yako mbinguni;+ naam, usikilize na kusamehe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Macho yako na yatazame nyumba hii usiku na mchana, yatazame mahali ambapo ulisema kwamba utaweka jina lako,+ ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninasali kuelekea mahali hapa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ‘Tukipatwa na msiba, upanga, hukumu kali, au ugonjwa hatari, au njaa, na tusimame mbele ya nyumba hii na mbele zako (kwa maana jina lako limo katika nyumba hii)+ na kukulilia utusaidie katika taabu yetu, nawe usikie na kutuokoa.’+

  • Danieli 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi nikageuza uso wangu kumwelekea Yehova Mungu wa kweli, nikimsihi katika sala, pamoja na kufunga+ na kuvaa nguo za magunia na kujimwagia majivu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki