4 Huenda Yehova Mungu wako atayasikia maneno yote ya Rabshake, aliyetumwa na bwana wake mfalme wa Ashuru ili amdhihaki Mungu aliye hai,+ naye atamfanya awajibike kwa sababu ya maneno ambayo Yehova Mungu wako amesikia. Basi toa sala+ kwa niaba ya watu waliobaki ambao wameokoka.’”
16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie!+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone! Sikia maneno ambayo Senakeribu amesema ili kukudhihaki wewe Mungu uliye hai.