27 Lakini ninajua vizuri unapoketi, unapotoka nje, unapoingia,+
Na unapokuwa na ghadhabu dhidi yangu,+
28 Kwa sababu ghadhabu yako dhidi yangu+ na mngurumo wako umefika masikioni mwangu.+
Basi nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu+ katikati ya midomo yako,
Nami nitakurudisha kupitia njia uliyoitumia kuja.”+