20 Siku hiyo watu wa Israeli waliobaki
Na waliookoka wa nyumba ya Yakobo
Hawatamtegemea tena yule aliyewapiga;+
Bali watamtegemea Yehova,
Mtakatifu wa Israeli, kwa uaminifu.
21 Ni watu wachache tu waliobaki watakaorudi,
Watu wa Yakobo waliobaki, watarudi kwa Mungu Mwenye Nguvu.+