Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Nitatoa uzao* katika Yakobo

      Na katika Yuda mrithi wa milima yangu;+

      Watu wangu niliowachagua wataumiliki,

      Na watumishi wangu watakaa huko.+

  • Hosea 1:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na Waisraeli* watakuwa wengi kama chembe za mchanga wa bahari, ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na mahali ambapo Mungu aliwaambia, ‘Ninyi si watu wangu,’+ atawaita, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+ 11 Na watu wa Yuda na wa Israeli watakusanywa pamoja ili wawe na umoja+ nao watajichagulia kiongozi mmoja na kupanda kutoka nchini, kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa kuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki