Mwanzo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kisha Yehova akasema: “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora kwa kweli ni kikubwa,+ na dhambi yao ni nzito sana.+ Isaya 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sikieni neno la Yehova, enyi madikteta* wa Sodoma.+ Sikilizeni sheria* ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.+ Yuda 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+
20 Kisha Yehova akasema: “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora kwa kweli ni kikubwa,+ na dhambi yao ni nzito sana.+
10 Sikieni neno la Yehova, enyi madikteta* wa Sodoma.+ Sikilizeni sheria* ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.+
7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+