8 Kwa maana watu wa Yerusalemu wamejikwaa,
Na watu wa Yuda wameanguka,
Kwa sababu wanampinga Yehova kwa maneno na matendo;
Wanatenda kwa ukaidi mbele za uwepo wake mtukufu.+
9 Hali ya nyuso zao inatoa ushahidi dhidi yao,
Nazo zinatangaza dhambi yao kama Sodoma;+
Hawajaribu kuificha.
Ole wao, kwa maana wanajiletea msiba!