Zaburi 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sikia sala yangu, Ee Yehova,Sikiliza kilio changu cha kuomba msaada.+ Usipuuze machozi yangu. Kwa maana kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Msafiri apitaye,* kama mababu zangu wote.+ Zaburi 119:82 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Macho yangu yanatamani sana neno lako+Huku nikisema: “Utanifariji lini?”+ Zaburi 119:123 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 123 Macho yangu yamechoka nikiungojea wokovu wako+Na ahadi yako ya* uadilifu.+
12 Sikia sala yangu, Ee Yehova,Sikiliza kilio changu cha kuomba msaada.+ Usipuuze machozi yangu. Kwa maana kwako, mimi ni mkaaji mgeni tu,+Msafiri apitaye,* kama mababu zangu wote.+