Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana sasa nimemjua ili awaamuru watoto wake na nyumba yake baada yake kushika njia ya Yehova kwa kutenda yaliyo sawa na ya haki,+ ili Yehova atimize mambo aliyoahidi kumhusu Abrahamu.”

  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+

  • Yoshua 4:21-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Akawaambia hivi Waisraeli: “Watoto wenu watakapowauliza wakati ujao, ‘Mawe haya ni ya nini?’+ 22 Waambieni, ‘Waisraeli walivuka katikati ya Mto Yordani kwenye nchi kavu+ 23 Yehova Mungu wenu alipoyakausha maji ya Yordani mbele yao mpaka walipovuka, kama Yehova Mungu wenu alivyoikausha Bahari Nyekundu* mbele yetu mpaka tulipovuka.+ 24 Alifanya hivyo ili watu wote duniani wajue jinsi mkono wa Yehova ulivyo na nguvu+ na ili ninyi mmwogope Yehova Mungu wenu sikuzote.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki