Mwanzo 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+ Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:19 w04 5/15 27 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:19 Mnara wa Mlinzi,5/15/2004, uku. 27
19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+