Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona mambo nitakayomtendea Farao.+ Mkono wenye nguvu utamlazimisha awaruhusu watu wangu waende zao, na mkono wenye nguvu utamlazimisha awafukuze kutoka katika nchi yake.”+

  • Kutoka 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, nami nitawatoa kutoka chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa kutoka katika utumwa wao,+ nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watashikwa na woga na hofu.+

      Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe

      Mpaka watu wako watakapopita, Ee Yehova,

      Mpaka watu uliowatokeza+ watakapopita.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe Yehova akatutoa Misri kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa+ na kwa matendo yanayotisha na kwa ishara na miujiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki