Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 tazama! mkono wangu mimi Yehova+ utaipiga mifugo yenu iliyo shambani. Nitawaletea pigo kali sana farasi, punda, ngamia, ng’ombe, na makundi yenu.+

  • Kutoka 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Nitamletea Farao na Misri pigo moja zaidi. Baada ya pigo hilo atawaruhusu mwondoke hapa.+ Atakapowaruhusu mwondoke, atawafukuza kabisa kutoka hapa.+

  • Kutoka 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ndipo katikati ya usiku, Yehova akamuua kila mzaliwa wa kwanza nchini Misri,+ kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao aliyeketi kwenye kiti chake cha ufalme mpaka mzaliwa wa kwanza wa mateka aliyekuwa gerezani,* na kila mzaliwa wa kwanza wa mnyama.+

  • Kutoka 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mara moja Farao akamwita Musa na Haruni+ usiku na kuwaambia: “Amkeni! Ondokeni kati ya watu wangu, ninyi wawili na Waisraeli wengine. Nendeni mkamtumikie Yehova, kama mlivyosema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki