Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova akamkasirikia vikali Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umegeuka na kumwacha Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyekuwa amemtokea mara mbili+ 10 na kumwonya kuhusu jambo hilohilo, kwamba hapaswi kuifuata miungu mingine.+ Lakini hakutii amri ya Yehova.

  • 2 Wafalme 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, Yehova hakuacha hasira yake kali iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya mambo yote yenye kuchukiza ambayo Manase alifanya na kumkasirisha Mungu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa Yehova kwa maana hakutii neno la Yehova,+ na pia kwa sababu alitafuta ushauri kutoka kwa mtu aliyewasiliana na roho+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki