Mika 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao: Mika 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao:
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+