Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Mika 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mataifa yote yatatembea, kila taifa katika jina la mungu wake,Lakini sisi tutatembea katika jina la Yehova Mungu wetu+ milele na milele.
33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
5 Kwa maana mataifa yote yatatembea, kila taifa katika jina la mungu wake,Lakini sisi tutatembea katika jina la Yehova Mungu wetu+ milele na milele.