Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Mungu akatengeneza mianga miwili mikubwa, mwanga mkubwa zaidi wa kutawala mchana+ na mwanga mdogo wa kutawala usiku, na pia nyota.+

  • Isaya 54:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa

      Na huenda vilima vikatikiswa,

      Lakini upendo wangu mshikamanifu hautaondolewa kwako,+

      Wala agano langu la amani halitatikiswa,”+ asema Yehova, Yule anayekuonyesha rehema.+

  • Yeremia 31:35-37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova,

      Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,

      Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,

      Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,

      Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+

      36 “‘Ikiwa sheria hizo zitakoma,’ asema Yehova,

      ‘Basi uzao wa Israeli utakoma daima kuwa taifa mbele zangu.’”+

      37 Yehova anasema hivi: “‘Ikiwa mbingu zilizo juu zinaweza kupimwa na misingi ya dunia iliyo chini kuchunguzwa, basi ninaweza kuukataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote ambayo wamefanya,’ asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki