2Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+
70 Na makuhani, Walawi, baadhi ya watu, waimbaji, walinzi wa malango, na watumishi wa hekaluni,* wakaanza kuishi katika majiji yao. Na Waisraeli wengine wote* wakaanza kuishi katika majiji yao.+