Kutoka 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ukimnunua mtumwa Mwebrania,+ atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba, utamweka huru, naye hatalipa chochote.+ Mambo ya Walawi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru kwa wakaaji wote nchini.+ Utakuwa Mwadhimisho wa Miaka 50, na kila mmoja atarudi kwenye urithi wake na kila mmoja wenu atarudi kwa familia yake.+
2 “Ukimnunua mtumwa Mwebrania,+ atakuwa mtumwa kwa miaka sita, lakini mwaka wa saba, utamweka huru, naye hatalipa chochote.+
10 Mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru kwa wakaaji wote nchini.+ Utakuwa Mwadhimisho wa Miaka 50, na kila mmoja atarudi kwenye urithi wake na kila mmoja wenu atarudi kwa familia yake.+