15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+
15 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazameni, ninaliletea jiji hili na miji yake yote msiba wote ambao nimetangaza dhidi yake, kwa sababu walikataa kwa ukaidi kuyatii* maneno yangu.’”+