Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu.+ Akapiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote,+ 2 naye akalizingira jiji hilo mpaka mwaka wa 11 wa utawala wa Mfalme Sedekia.

  • Yeremia 52:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu. Walipiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote.+ 5 Nao walilizingira jiji hilo mpaka mwaka wa 11 wa utawala wa Mfalme Sedekia.

  • Ezekieli 24:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Neno la Yehova likanijia tena katika mwaka wa tisa, mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, likisema: 2 “Mwana wa binadamu, andika tarehe hii,* siku hiihii ya leo. Mfalme wa Babiloni ameanza kulishambulia Yerusalemu siku hiihii ya leo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki