-
2 Wafalme 25:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu.+ Akapiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote,+ 2 naye akalizingira jiji hilo mpaka mwaka wa 11 wa utawala wa Mfalme Sedekia.
-
-
Yeremia 52:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu. Walipiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote.+ 5 Nao walilizingira jiji hilo mpaka mwaka wa 11 wa utawala wa Mfalme Sedekia.
-