-
2 Wafalme 22:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Halafu mfalme akamwagiza hivi kuhani Hilkia, Ahikamu+ mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, mwandishi Shafani, na Asaya mtumishi wa mfalme: 13 “Nendeni mkatafute ushauri wa Yehova kwa niaba yangu, kwa niaba ya watu, na kwa niaba ya watu wote wa Yuda kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova iliyowaka dhidi yetu ni kali,+ kwa sababu mababu zetu hawakutii maneno ya kitabu hiki kwa kuyashika mambo yote yaliyoandikwa kutuhusu.”
-