-
Yeremia 41:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi wakaenda na kukaa mahali pa kulala pa Kimhamu kando ya Bethlehemu,+ wakikusudia kwenda Misri,+ 18 kwa sababu ya Wakaldayo. Kwa maana waliwaogopa, kwa sababu Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa amemuua Gedalia mwana wa Ahikamu, ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa msimamizi wa nchi.+
-