2 Wafalme 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha watu wote, kuanzia mdogo mpaka mkubwa, pamoja na wakuu wa jeshi, wakaondoka na kwenda Misri,+ kwa sababu waliwaogopa Wakaldayo.+ Yeremia 42:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa kusema: “Hapana, badala yake tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambako hatutaona vita wala kusikia sauti ya pembe wala kuwa na njaa kwa kukosa mkate; huko ndiko tutakakoishi,” Yeremia 43:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakaingia nchini Misri, kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova, wakaenda mpaka Tahpanhesi.+
26 Kisha watu wote, kuanzia mdogo mpaka mkubwa, pamoja na wakuu wa jeshi, wakaondoka na kwenda Misri,+ kwa sababu waliwaogopa Wakaldayo.+
14 kwa kusema: “Hapana, badala yake tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambako hatutaona vita wala kusikia sauti ya pembe wala kuwa na njaa kwa kukosa mkate; huko ndiko tutakakoishi,”