Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Je, Israeli ni mtumishi, au ni mtumwa aliyezaliwa nyumbani?

      Basi kwa nini amekuwa kitu cha kuporwa?

  • Yeremia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Watu wa Nofu*+ na Tahpanesi+ wanakula utosi wa kichwa chako.

  • Yeremia 44:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakiishi katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakiishi Migdoli,+ Tahpanhesi,+ Nofu,*+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema:

  • Ezekieli 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri;

      Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+

  • Ezekieli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kule Tehafnehesi mchana utakuwa na giza nitakapovunja nira za Misri huko.+ Nguvu zake zenye kiburi zitakwisha,+ mawingu yatamfunika, na miji yake itapelekwa utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki