Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 43:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yohanani mwana wa Karea na wakuu wote wa jeshi na watu wote hawakuitii sauti ya Yehova kwamba wabaki katika nchi ya Yuda.

  • Yeremia 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakaingia nchini Misri, kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova, wakaenda mpaka Tahpanhesi.+

  • Yeremia 46:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+

      Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+

      Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,

      Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.

  • Ezekieli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kule Tehafnehesi mchana utakuwa na giza nitakapovunja nira za Misri huko.+ Nguvu zake zenye kiburi zitakwisha,+ mawingu yatamfunika, na miji yake itapelekwa utekwani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki