8 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka 18 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miezi mitatu huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Nehushta binti ya Elnathani wa Yerusalemu. 9 Yehoyakini aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, alitenda mambo yote ambayo baba yake alitenda.