Yeremia 44:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wanawake wakasema: “Na tulipokuwa tukimtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji, je, tulitengeneza keki za dhabihu zinazofanana naye na kummiminia matoleo ya kinywaji bila idhini ya waume zetu?”
19 Wanawake wakasema: “Na tulipokuwa tukimtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji, je, tulitengeneza keki za dhabihu zinazofanana naye na kummiminia matoleo ya kinywaji bila idhini ya waume zetu?”