19 “Pia, wakati tulipokuwa tukimfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu nasi tukawa na mwelekeo wa kummiminia matoleo ya kinywaji,+ je, tulimtolea keki za dhabihu bila kuwauliza waume zetu, ili kutengeneza sanamu yake, na kummiminia matoleo ya kinywaji?”+