Yeremia 44:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wanawake wakasema: “Na tulipokuwa tukimtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji, je, tulitengeneza keki za dhabihu zinazofanana naye na kummiminia matoleo ya kinywaji bila idhini ya waume zetu?” Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 44:19 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2022
19 Wanawake wakasema: “Na tulipokuwa tukimtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji, je, tulitengeneza keki za dhabihu zinazofanana naye na kummiminia matoleo ya kinywaji bila idhini ya waume zetu?”