Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na mume wake awe amesikia jambo hilo na kukaa kimya kumwelekea, hakumkataza; na nadhiri zake zote zitasimama au nadhiri yoyote ya kujiepusha ambayo amefunga juu ya nafsi yake itasimama.

  • Hesabu 30:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ikiwa mume wake atakaa kimya kabisa kumwelekea siku baada ya siku, yeye ameziimarisha pia nadhiri zake zote au nadhiri zake zote za kujiepusha zilizo juu yake.+ Amezithibitisha kwa sababu alikaa kimya kumwelekea siku alipozisikia.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu; kwa maana binti ya Ahabu alikuwa amekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki