6 “Fungu lako lilikuwa pamoja na mawe laini ya bonde la mto.+ Hayo—hayo yalikuwa kura yako.+ Zaidi ya hayo, uliyamwagia toleo la kinywaji,+ ulitoa zawadi. Je, nitajifariji kwa mambo hayo?+
18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+