13 Kwa maana miungu yenu imekuwa mingi kama majiji yenu, enyi watu wa Yuda, nanyi mmekitengenezea kitu cha aibu* madhabahu nyingi kama barabara zilizo Yerusalemu, madhabahu za kumtolea dhabihu Baali.’+
24 ‘Ulijijengea kilima na kujitengenezea mahali pa juu katika kila kiwanja cha jiji. 25 Ulijenga mahali pako pa juu sehemu zinazoonekana zaidi za kila barabara, nawe ukaugeuza urembo wako kuwa kitu kinachochukiza kwa kuutoa mwili wako* kwa kila mpita-njia,+ nawe ukazidisha matendo yako ya ukahaba.+