Yeremia 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kisha nikampa hati hiyo ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu, wale mashahidi walioandika kwenye hati ya ununuzi, na Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+ Yeremia 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Baruku+ mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili kututia mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au kutupeleka uhamishoni Babiloni.”+
12 kisha nikampa hati hiyo ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu, wale mashahidi walioandika kwenye hati ya ununuzi, na Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+
3 Lakini Baruku+ mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili kututia mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au kutupeleka uhamishoni Babiloni.”+