Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova. Yeremia 42:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa kusema: “Hapana, badala yake tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambako hatutaona vita wala kusikia sauti ya pembe wala kuwa na njaa kwa kukosa mkate; huko ndiko tutakakoishi,”
5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
14 kwa kusema: “Hapana, badala yake tutaenda katika nchi ya Misri,+ ambako hatutaona vita wala kusikia sauti ya pembe wala kuwa na njaa kwa kukosa mkate; huko ndiko tutakakoishi,”