Isaya 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+ Yeremia 48:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “‘Kuna kilio kikubwa kutoka Heshboni+ mpaka Eleale.+ Wanapaza sauti yao mpaka Yahazi,+Kutoka Soari mpaka Horonaimu,+ mpaka Eglath-shelishiya. Hata maji ya Nimrimu yatabaki ukiwa.+
5 Moyo wangu unamlilia Moabu. Wakimbizi wake wamekimbia mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwenye njia inayopanda kwenda Luhithi wanalia wakipanda;Kwenye njia ya kwenda Horonaimu wanalia kwa sauti kwa sababu ya msiba.+
34 “‘Kuna kilio kikubwa kutoka Heshboni+ mpaka Eleale.+ Wanapaza sauti yao mpaka Yahazi,+Kutoka Soari mpaka Horonaimu,+ mpaka Eglath-shelishiya. Hata maji ya Nimrimu yatabaki ukiwa.+