Hesabu 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Atarothi,+ Aroeri,+ Kumbukumbu la Torati 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kuanzia Aroeri,+ jiji lililo kwenye ukingo wa Bonde* la Arnoni (pamoja na jiji lililo bondeni), mpaka Gileadi, hakuna mji wowote ambao hatungeweza kuuteka. Yehova Mungu wetu aliitia yote mikononi mwetu.+
36 Kuanzia Aroeri,+ jiji lililo kwenye ukingo wa Bonde* la Arnoni (pamoja na jiji lililo bondeni), mpaka Gileadi, hakuna mji wowote ambao hatungeweza kuuteka. Yehova Mungu wetu aliitia yote mikononi mwetu.+