Hesabu 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kisha Musa akawatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Wakateka miji yake na kuwafukuza Waamori waliokuwa humo. Hesabu 32:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Atarothi,+ Aroeri,+ 35 Atroth-shofani, Yazeri,+ Yogbeha,+ Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Heshboni+ na malisho yake, Yazeri+ na malisho yake—jumla ya majiji manne.
32 Kisha Musa akawatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Wakateka miji yake na kuwafukuza Waamori waliokuwa humo.
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+