Obadia 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ikiwa wezi wangekuvamia, ikiwa wanyang’anyi wangekuja usiku,Je, hawangeiba tu wanachotaka? Au ikiwa wavunaji wa zabibu wangekuja kwako,Je, hawangeacha zabibu chache? Lakini wewe utaangamizwa kabisa!+
5 “Ikiwa wezi wangekuvamia, ikiwa wanyang’anyi wangekuja usiku,Je, hawangeiba tu wanachotaka? Au ikiwa wavunaji wa zabibu wangekuja kwako,Je, hawangeacha zabibu chache? Lakini wewe utaangamizwa kabisa!+