Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Unapokusanya zabibu katika shamba lako la mizabibu, hupaswi kurudi kukusanya zabibu zilizobaki. Unapaswa kumwachia mkaaji mgeni, yatima, na mjane.

  • Yeremia 49:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ikiwa wavunaji wa zabibu wangekuvamia,

      Je, hawangeacha zabibu chache za kuokotwa?

      Kama wezi wangekuja usiku,

      Wangesababisha uharibifu kadiri wapendavyo.+

      10 Lakini nitamvua Esau awe uchi.

      Nitafichua maficho yake,

      Ili asiweze kujificha.

      Watoto wake na ndugu zake na majirani zake wataangamizwa,+

      Naye hatakuwepo tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki