-
Malaki 1:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 nami nikamchukia Esau;+ nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake nikawaachia mbwamwitu wa nyikani.”+
4 “Ingawa Waedomu wanasema, ‘Tumevunjwavunjwa, lakini tutarudi na kujenga tena magofu,’ Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Watajenga, lakini nitabomoa, nao wataitwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova amewahukumu milele.”+
-