2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Isaya 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo tazama! Yehova ataleta dhidi yaoMaji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,*Mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote. Atakuja juu ya sakafu zake zote za vijitoNa kufurika kwenye kingo zake zote
6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
7 Kwa hiyo tazama! Yehova ataleta dhidi yaoMaji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,*Mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote. Atakuja juu ya sakafu zake zote za vijitoNa kufurika kwenye kingo zake zote