Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+

  • Isaya 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu

      Nami nitamkanyaga-kanyaga kwenye milima yangu.+

      Nira yake itaondolewa juu yao,

      Na mzigo wake utaondolewa juu ya bega lao.”+

  • Sefania 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ataunyoosha mkono wake kuelekea kaskazini na kuangamiza Ashuru,

      Naye atalifanya Ninawi liwe ukiwa,+ liwe kavu kama jangwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki