-
Yeremia 51:41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Jinsi ambavyo Babiloni amekuwa kitu cha kutisha kati ya mataifa!
-
-
Ufunuo 18:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Wafanyabiashara waliouza vitu hivyo, waliopata utajiri kutokana naye, watasimama mbali kwa sababu ya kuogopa kuteseka kwake nao watalia na kuomboleza, 16 wakisema: ‘Ole, ole, lile jiji kubwa lililovaa kitani bora, zambarau, na kitambaa chekundu, na lililopambwa sana kwa mapambo ya dhahabu, mawe ya thamani, na lulu,+
-