-
Yeremia 49:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kwa nini jiji lenye sifa halijaachwa,
Mji wa furaha?
-
-
Danieli 4:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Mfalme alikuwa akisema: “Je, hii si Babiloni Kubwa ambayo nimeijenga mimi mwenyewe kuwa makao ya kifalme kwa nguvu zangu mwenyewe na uwezo wangu na kwa ajili ya utukufu wa ukuu wangu?”
-