Zaburi 137:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+ Yeremia 51:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Kwa maana mwangamizaji ataishambulia Babiloni;+Mashujaa wake watakamatwa,+Pinde zao zitavunjwavunjwa,Kwa maana Yehova ni Mungu wa kisasi.+ Bila shaka atalipa kisasi.+
8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+
56 Kwa maana mwangamizaji ataishambulia Babiloni;+Mashujaa wake watakamatwa,+Pinde zao zitavunjwavunjwa,Kwa maana Yehova ni Mungu wa kisasi.+ Bila shaka atalipa kisasi.+