Yeremia 50:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kimbieni kutoka Babiloni,Tokeni katika nchi ya Wakaldayo,+Na muwe kama wanyama wanaolitangulia kundi. Zekaria 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe unayekaa na binti ya Babiloni.+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+
8 “Kimbieni kutoka Babiloni,Tokeni katika nchi ya Wakaldayo,+Na muwe kama wanyama wanaolitangulia kundi.
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+