Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tokeni Babiloni!+

      Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

      Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+

      Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+

      Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+

  • Yeremia 51:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kimbieni kutoka Babiloni,

      Kimbieni ili mwokoe uhai wenu.*+

      Msiangamie kwa sababu ya kosa lake.

      Kwa maana ni wakati wa kisasi cha Yehova.

      Anamlipa kulingana na matendo yake.+

  • Yeremia 51:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Tokeni kati yake, watu wangu!+

      Kimbieni ili mwokoe uhai wenu*+ kutoka kwa hasira ya Yehova inayowaka!+

  • Zekaria 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe unayekaa na binti ya Babiloni.+

  • 2 Wakorintho 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Kwa hiyo, tokeni miongoni mwao na mjitenge,’ asema Yehova,* ‘na mwache kugusa kitu kichafu’”;+ “‘nami nitawakaribisha ndani.’”+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+

  • Ufunuo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake, na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki