Yeremia 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+ Yeremia 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakuu+ watawafanya kuwa watumwa,+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+ Yeremia 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+
12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+
14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakuu+ watawafanya kuwa watumwa,+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+
15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+